12 Na Hiramu akaendelea kusema: “Abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyezifanya mbingu na dunia,+ kwa sababu amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, mwenye uzoefu katika busara na uelewaji,+ atakayejenga nyumba kwa ajili ya Yehova na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.+