12 Kisha Hiramu akasema: “Na asifiwe Yehova Mungu wa Israeli, aliyeziumba mbingu na dunia, kwa sababu amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima,+ aliyebarikiwa kuwa na busara na uelewaji,+ atakayejenga nyumba kwa ajili ya Yehova na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.