6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
18 Naye Yehova, amekufanya useme leo kwamba utakuwa kikundi cha watu wake, mali ya pekee,+ kama vile alivyokuahidi,+ na kwamba utashika amri zake zote,