Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Lakini Mfalme Sulemani atabarikiwa,+ na kiti cha ufalme cha Daudi kitafanywa imara mbele za Yehova milele.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na abarikiwe Yehova Mungu wako,+ ambaye amependezwa+ nawe kwa kukuweka juu ya kiti chake cha ufalme+ uwe mfalme kwa ajili ya Yehova Mungu wako;+ kwa sababu Mungu wako alipenda+ Israeli, ili kuisimamisha mpaka wakati usio na kipimo, hivi kwamba akakuweka juu yao uwe mfalme+ ili utende uamuzi wa hukumu+ na uadilifu.”+

  • Luka 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.

  • Yohana 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki