2 Samweli 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+ Zaburi 72:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu+Na ya watu wako wenye kuteseka kwa hukumu.+ Isaya 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+
3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+
4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+