2 Samweli 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+ Zaburi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+
25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+
19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+