Zaburi 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana umemfanya abarikiwe sana milele;+Unamfanya afurahie kwa shangwe mbele za uso wako.+ Zaburi 72:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jina lake na liweko mpaka wakati usio na kipimo;+Jina lake na liongezeke mbele ya jua,Na kupitia yeye na wajibariki;+Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.+
17 Jina lake na liweko mpaka wakati usio na kipimo;+Jina lake na liongezeke mbele ya jua,Na kupitia yeye na wajibariki;+Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.+