1 Mambo ya Nyakati 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitamsimamisha katika nyumba+ yangu na katika ufalme+ wangu mpaka wakati usio na kipimo, na kiti chake cha ufalme+ kitadumu mpaka wakati usio na kipimo.”’” Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+
14 Nami nitamsimamisha katika nyumba+ yangu na katika ufalme+ wangu mpaka wakati usio na kipimo, na kiti chake cha ufalme+ kitadumu mpaka wakati usio na kipimo.”’”
36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+