Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+ Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+ Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.” 2 Petro 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kweli, hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa kwa wingi kuingia+ katika ufalme wa milele+ wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+
44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
11 Kwa kweli, hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa kwa wingi kuingia+ katika ufalme wa milele+ wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+