Mathayo 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+ Luka 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+ Yohana 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+
9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+
5 Yesu akajibu: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji+ na roho,+ hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.