11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
33 Hata sikumjua, bali Yule aliyenituma+ nibatize katika maji aliniambia, ‘Yeyote yule ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye ambaye hubatiza katika roho takatifu.’+
45 Na waaminifu waliokuwa wamekuja pamoja na Petro ambao walikuwa kati ya wale waliotahiriwa wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa ikimiminwa pia juu ya watu wa mataifa.+
13 Kwa kweli kwa roho moja sote tulibatizwa+ katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au ni Wagiriki, kama ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa+ roho moja.