Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+ 1 Petro 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida,+ mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda-dhambi wataonekana wapi?”+
22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida,+ mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda-dhambi wataonekana wapi?”+