Mathayo 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+ Yohana 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi.+ Kama sivyo, ningaliwaambia ninyi, kwa sababu ninaenda kuwatayarishia ninyi mahali.+
34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi.+ Kama sivyo, ningaliwaambia ninyi, kwa sababu ninaenda kuwatayarishia ninyi mahali.+