Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+ Matendo 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Sasa walipokuwa wakienda juu ya ile barabara, wakafika mahali penye maji, na towashi akasema: “Tazama! Maji; ni nini kinachonizuia nisibatizwe?”+ Matendo 10:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 “Je, mtu yeyote anaweza kuyakataza maji kwamba hawa wasibatizwe+ ambao wameipokea roho takatifu kama vile sisi tulivyoipokea?” Matendo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliposikia hilo, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu.+
19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+
36 Sasa walipokuwa wakienda juu ya ile barabara, wakafika mahali penye maji, na towashi akasema: “Tazama! Maji; ni nini kinachonizuia nisibatizwe?”+
47 “Je, mtu yeyote anaweza kuyakataza maji kwamba hawa wasibatizwe+ ambao wameipokea roho takatifu kama vile sisi tulivyoipokea?”