11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
17 Kwa hiyo, ikiwa Mungu aliwapa hao zawadi ileile ya bure kama vile alivyotupa sisi pia ambao tumemwamini Bwana Yesu Kristo,+ mimi ni nani hata niweze kumzuia Mungu?”+