Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+ Matendo 10:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 “Je, mtu yeyote anaweza kuyakataza maji kwamba hawa wasibatizwe+ ambao wameipokea roho takatifu kama vile sisi tulivyoipokea?”
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
47 “Je, mtu yeyote anaweza kuyakataza maji kwamba hawa wasibatizwe+ ambao wameipokea roho takatifu kama vile sisi tulivyoipokea?”