1 Mambo ya Nyakati 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana wewe mwenyewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako kusudi la kumjengea nyumba.+ Ndiyo sababu mtumishi wako amepata nafasi ya kusali mbele zako. Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
25 Kwa maana wewe mwenyewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako kusudi la kumjengea nyumba.+ Ndiyo sababu mtumishi wako amepata nafasi ya kusali mbele zako.
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+