1 Wafalme 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Naye Sulemani akasema: “Ikiwa atakuwa mwanamume shujaa, unywele wake hata mmoja+ hautaanguka chini; lakini ikiwa ubaya utapatikana ndani yake,+ basi yeye atakufa.”+ Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+
52 Naye Sulemani akasema: “Ikiwa atakuwa mwanamume shujaa, unywele wake hata mmoja+ hautaanguka chini; lakini ikiwa ubaya utapatikana ndani yake,+ basi yeye atakufa.”+
11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+