Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+

  • 1 Wafalme 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+

  • Methali 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uadilifu humlinda mtu asiye na lawama katika njia yake,+ lakini uovu humpindua mtenda-dhambi.+

  • Methali 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Aliye Mwadilifu anaifikiria nyumba ya mwovu,+ akiwapindua waovu wapate msiba wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki