17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+