Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Methali 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna kitu chochote chenye kudhuru kitakachompata mwadilifu,+ lakini waovu ndio watakaojazwa misiba.+ Methali 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Katika mapito ya uadilifu kuna uzima,+ na kusafiri katika njia yake kunamaanisha hakuna kifo.+
21 Hakuna kitu chochote chenye kudhuru kitakachompata mwadilifu,+ lakini waovu ndio watakaojazwa misiba.+