Zaburi 91:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakuna msiba utakaokuangukia,+Na hata pigo halitakaribia hema lako.+ Methali 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa habari yake mtu anayenisikiliza, yeye atakaa salama+ wala hatasumbuliwa na hofu ya msiba.”+ Methali 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu humlinda mtu asiye na lawama katika njia yake,+ lakini uovu humpindua mtenda-dhambi.+