21 Kwa kusudi gani? Kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa+ zitawale kama mfalme kupitia uadilifu kwa tazamio la uzima wa milele+ kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+