Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Geuka mbali kutoka kwa mambo mabaya na ufanye yaliyo mema,+

      Na hivyo ukae mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Methali 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hazina za mwovu hazitakuwa na faida,+ lakini uadilifu ndio utakaokomboa kutoka katika kifo.+

  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

  • Habakuki 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+

  • Waroma 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kusudi gani? Kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa+ zitawale kama mfalme kupitia uadilifu kwa tazamio la uzima wa milele+ kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.

  • 1 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki