Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+Utafute amani, na kuifuatia.+ Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+ 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+
17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+
11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+