Methali 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+ Isaya 48:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Hakuna amani,” Yehova amesema, “kwa waovu.”+ Habakuki 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Utashibishwa kwa aibu badala ya utukufu.+ Kunywa pia, wewe mwenyewe,+ ukaonwe kuwa mtu ambaye hajatahiriwa.+ Kikombe cha mkono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+ na kutakuwako fedheha juu ya utukufu wako;
16 Utashibishwa kwa aibu badala ya utukufu.+ Kunywa pia, wewe mwenyewe,+ ukaonwe kuwa mtu ambaye hajatahiriwa.+ Kikombe cha mkono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+ na kutakuwako fedheha juu ya utukufu wako;