Kumbukumbu la Torati 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Haki—haki utaifuatilia,+ ili upate kuendelea kuwa hai nawe umiliki nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Ayubu 21:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana mnasema, ‘Iko wapi nyumba ya mtu mwenye cheo,Na liko wapi hema, maskani za waovu?’+ Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Zaburi 91:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Utatazama kwa macho yako tu+Na kuona malipo ya waovu.+ Zaburi 101:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote wa dunia,+Kukatilia mbali kutoka katika jiji+ la Yehova wote wanaotenda mambo yenye kuumiza.+
20 Haki—haki utaifuatilia,+ ili upate kuendelea kuwa hai nawe umiliki nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote wa dunia,+Kukatilia mbali kutoka katika jiji+ la Yehova wote wanaotenda mambo yenye kuumiza.+