Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Malaki 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na macho yenu wenyewe yataona hilo, nanyi mtasema: “Yehova na atukuzwe juu ya eneo la Israeli.” ’ ”+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
5 Na macho yenu wenyewe yataona hilo, nanyi mtasema: “Yehova na atukuzwe juu ya eneo la Israeli.” ’ ”+