Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+

  • 2 Wakorintho 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘Kwa hiyo tokeni katikati yao, na mjitenge,’ asema Yehova, ‘na mwache kugusa kitu kilicho najisi’ ”;+ “ ‘nami nitawakaribisha ndani.’ ”+

  • Ufunuo 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+

  • Ufunuo 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na kwamba waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki