7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru,+ tuna ushirika sisi kwa sisi,+ na damu+ ya Yesu Mwana wake hutusafisha+ kutoka katika dhambi yote.+
3 Mwenye furaha+ ni yeye anayesoma kwa sauti+ na wale wanaosikia maneno ya unabii huu,+ na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo;+ kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.+