Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+ Yeremia 51:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “Tokeni katikati yake, enyi watu wangu,+ na kila mmoja aiponye nafsi yake+ kutoka kwenye hasira ya Yehova inayowaka.+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.
11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+
45 “Tokeni katikati yake, enyi watu wangu,+ na kila mmoja aiponye nafsi yake+ kutoka kwenye hasira ya Yehova inayowaka.+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.