17 Ikawa kwamba, mara tu walipokuwa wamewatoa nje ya jiji, akaanza kusema: “Kimbia kwa ajili ya nafsi yako!+ Usitazame nyuma+ wala usisimame katika Wilaya yote!+ Kimbilia eneo lenye milima usije ukafagiliwa mbali!”+
6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+