2 “‘Au nafsi inapogusa kitu kisicho safi, iwe ni mzoga wa mnyama-mwitu asiye safi au mzoga wa mnyama wa kufugwa asiye safi au mzoga wa kiumbe kinachozaana kwa wingi kisicho safi,+ ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake,+ bado yeye si safi naye amekuwa na hatia.+
23 “ ‘Nao watawafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu najisi; nao watawajulisha watu tofauti kati ya kitu ambacho si safi na kitu safi.+