Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Au nafsi inapogusa kitu kisicho safi, iwe ni mzoga wa mnyama-mwitu asiye safi au mzoga wa mnyama wa kufugwa asiye safi au mzoga wa kiumbe kinachozaana kwa wingi kisicho safi,+ ingawa ulikuwa umefichwa machoni pake,+ bado yeye si safi naye amekuwa na hatia.+

  • Ezekieli 44:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “ ‘Nao watawafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu najisi; nao watawajulisha watu tofauti kati ya kitu ambacho si safi na kitu safi.+

  • Hagai 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Hagai akaendelea kusema: “Mtu aliye najisi kutokana na nafsi iliyokufa akigusa chochote kati ya vitu hivyo, je, kitu hicho kitakuwa najisi?”+

      Nao makuhani wakajibu na kusema: “Kitakuwa najisi.”

  • Waefeso 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na mwache kushirikiana+ pamoja nao katika matendo yasiyozaa matunda, ambayo ni ya giza,+ lakini badala yake muwe hata mkiyakaripia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki