Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na ikiwa nafsi itagusa kitu chochote kisicho safi, uchafu wa mwanadamu+ au mnyama asiye safi+ au kitu chochote chenye kuchukiza kisicho safi,+ naye ale sehemu ya nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.’”

  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • Hesabu 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa kukawa na watu ambao walikuwa wamekuwa najisi kwa sababu ya nafsi+ ya binadamu hivi kwamba hawakuweza kuitayarisha dhabihu ya pasaka katika siku hiyo. Kwa hiyo wakaenda mbele ya Musa na Haruni katika siku hiyo.+

  • Hesabu 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeyote atakayegusa maiti ya nafsi+ yoyote ya binadamu atakuwa asiye safi siku saba.+

  • Hesabu 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nanyi mpige kambi nje ya kambi siku saba. Kila mtu ambaye ameua nafsi+ na kila mtu ambaye amegusa mtu aliyeuawa,+ mtajitakasa+ katika siku ya tatu na katika siku ya saba, ninyi na mateka wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki