Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikawa kwamba Mungu alipoharibu majiji ya Wilaya hiyo, Mungu alimkumbuka Abrahamu, kwa kuwa alichukua hatua za kumwondoa Loti kutoka katikati ya hayo maangamizi alipokuwa akiyaangamiza majiji ambayo kati yake Loti alikuwa amekaa.+

  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana waovu wataangamia,+

      Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;

      Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+

  • Methali 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uadilifu humlinda mtu asiye na lawama katika njia yake,+ lakini uovu humpindua mtenda-dhambi.+

  • Methali 14:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+

  • 2 Petro 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na kwa njia hizo ulimwengu wa wakati huo uliangamia kwa gharika ya maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki