Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Noa, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, katika siku hiyo chemchemi zote za kilindi kikubwa cha maji zilitobolewa na malango ya mbinguni yakafunguliwa.+

  • Mwanzo 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi akafutilia mbali kila kitu kilicho hai ambacho kilikuwa juu ya uso wa nchi, mwanadamu na mnyama, na mnyama anayetembea na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, navyo vikafutiliwa mbali duniani;+ na Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina wakaendelea kuwa hai.+

  • Isaya 54:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+

  • Mathayo 24:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 nao hawakujali mpaka gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki