2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+ Methali 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+ Mathayo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufalme+ wako na uje. Mapenzi yako+ na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni.+ Waebrania 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alikuwa mwaminifu+ kwa Huyo aliyemfanya kuwa hivyo, kama Musa+ alivyokuwa pia katika nyumba yote ya Huyo.+ Yakobo 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Badala yake, mnapaswa kusema: “Yehova akipenda,+ tutaishi na pia kufanya hili au lile.”+
11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+
2 Alikuwa mwaminifu+ kwa Huyo aliyemfanya kuwa hivyo, kama Musa+ alivyokuwa pia katika nyumba yote ya Huyo.+