42 Tena, kwa mara ya pili,+ akaenda zake na kusali, akisema: “Baba yangu, ikiwa haiwezekani kipitilie mbali ila nikinywe, acha mapenzi yako yatendeke.”+
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+