Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Luka 23:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Naye akamwambia: “Kwa kweli mimi nakuambia leo, Utakuwa pamoja nami+ katika Paradiso.”+ Matendo 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia. 1 Timotheo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote+ waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi+ wa kweli.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+
15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia.