Isaya 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbwa-mwitu kwa kweli atakaa pamoja na mwana-kondoo+ kwa muda fulani, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi, na ndama na mwana-simba mwenye manyoya shingoni+ na mnyama aliyelishwa vizuri wote pamoja;+ na mvulana mdogo atakuwa kiongozi juu yao. Isaya 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nyika na nchi isiyo na maji itafurahi;+ na nchi tambarare ya jangwani itakuwa na shangwe na kuchanua maua kama zafarani.+ Isaya 65:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa maana, tazama, mimi ninaumba mbingu mpya+ na dunia mpya;+ na mambo ya zamani hayatakumbukwa akilini,+ wala hayataingia moyoni.+ Ufunuo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nikaona mbingu mpya+ na dunia mpya;+ kwa maana mbingu+ ya kwanza na dunia+ ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali, na bahari+ haipo tena.
6 Na mbwa-mwitu kwa kweli atakaa pamoja na mwana-kondoo+ kwa muda fulani, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi, na ndama na mwana-simba mwenye manyoya shingoni+ na mnyama aliyelishwa vizuri wote pamoja;+ na mvulana mdogo atakuwa kiongozi juu yao.
35 Nyika na nchi isiyo na maji itafurahi;+ na nchi tambarare ya jangwani itakuwa na shangwe na kuchanua maua kama zafarani.+
17 “Kwa maana, tazama, mimi ninaumba mbingu mpya+ na dunia mpya;+ na mambo ya zamani hayatakumbukwa akilini,+ wala hayataingia moyoni.+
21 Nami nikaona mbingu mpya+ na dunia mpya;+ kwa maana mbingu+ ya kwanza na dunia+ ya kwanza zilikuwa zimepitilia mbali, na bahari+ haipo tena.