Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, si muda kidogo sana bado na Lebanoni itafanywa kuwa shamba la matunda+ na shamba hilo la matunda litahesabiwa kuwa kama msitu?+

  • Isaya 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+ na nyika itakuwa imekuwa shamba la matunda, na shamba la matunda lihesabiwe kuwa msitu halisi.+

  • Isaya 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huo kilema atapanda juu kama vile paa anavyofanya,+ na ulimi wa bubu utapaaza sauti kwa furaha.+ Kwa maana maji yatakuwa yamebubujika katika nyika, na mito katika nchi tambarare ya jangwani.

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+

  • Ezekieli 36:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na hakika watu watasema: “Ile nchi kule ambayo ilifanywa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ nayo majiji yaliyokuwa ukiwa na ambayo yalikuwa yamebomolewa yametiwa ngome; yamekaliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki