26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+
4 Nao watajenga upya mahali palipoharibiwa kwa muda mrefu;+ watasimamisha mahali palipofanywa ukiwa pa nyakati za kale,+ nao hakika watajenga upya yale majiji yaliyoharibiwa,+ mahali palipofanywa ukiwa kwa kizazi baada ya kizazi.