Isaya 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, si muda kidogo sana bado na Lebanoni itafanywa kuwa shamba la matunda+ na shamba hilo la matunda litahesabiwa kuwa kama msitu?+ Isaya 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+
17 Je, si muda kidogo sana bado na Lebanoni itafanywa kuwa shamba la matunda+ na shamba hilo la matunda litahesabiwa kuwa kama msitu?+
2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+