1 Mambo ya Nyakati 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+ Zaburi 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sauti ya Yehova ina nguvu;+Sauti ya Yehova ni yenye fahari.+ Zaburi 104:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+Umevaa utukufu na fahari,+ Zaburi 145:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Fahari tukufu ya utukufu wako+Na mambo ya kazi zako za ajabu nitayafanya yawe hangaiko langu.+
104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+Umevaa utukufu na fahari,+ Zaburi 145:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Fahari tukufu ya utukufu wako+Na mambo ya kazi zako za ajabu nitayafanya yawe hangaiko langu.+