Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+

      Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+

  • Zaburi 104:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 104 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu.+

      Ee Yehova Mungu wangu, umekuwa mkuu sana.+

      Umevaa utukufu na fahari,+

  • Zaburi 111:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+

      ו [Waw]

      Na uadilifu wake unasimama milele.+

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,+

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki