Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Utukufu na fahari ziko mbele zake,+

      Nguvu na shangwe zipo mahali pake.+

  • Ayubu 37:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Fahari ya dhahabu huja kutoka kaskazini.

      Utukufu+ ulio juu ya Mungu ni wenye kuogopesha.

  • Zaburi 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+

      Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+

  • Zaburi 96:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Utukufu na fahari ziko mbele zake;+

      Nguvu na uzuri zipo katika patakatifu pake.+

  • Ezekieli 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kulikuwa na kitu kinachoonekana kama upinde+ ambao hutokea katika wingu kubwa katika siku ya mvua. Hivyo ndivyo ulivyokuwa mwangaza uliozunguka pande zote. Kulikuwa ni kuonekana kwa mfano wa utukufu wa Yehova.+ Nilipouona, ndipo nikaanguka kifudifudi,+ nami nikaanza kusikia sauti ya mtu anayesema.

  • Danieli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nikaendelea kutazama mpaka viti vya ufalme vikawekwa+ na Mzee wa Siku+ akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama sufu safi.+ Kiti chake cha ufalme kilikuwa ni miali ya moto;+ magurudumu yake yalikuwa ni moto unaowaka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki