Kutoka 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na utukufu+ wa Yehova ukaendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ nalo wingu likaendelea kuufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.+ Ezekieli 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na, tazama! utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa hapo,+ kama kuonekana nilikokuwa nimeona katika nchi tambarare ya bondeni.
16 Na utukufu+ wa Yehova ukaendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ nalo wingu likaendelea kuufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.+
4 Na, tazama! utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa hapo,+ kama kuonekana nilikokuwa nimeona katika nchi tambarare ya bondeni.