Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha ikawa kwamba mara tu baada ya Haruni kusema na kusanyiko zima la wana wa Israeli, wakageuka na kutazama kuelekea nyikani, na, tazama! utukufu wa Yehova ukaonekana katika wingu.+

  • Mambo ya Walawi 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+

      Ndipo utukufu wa Yehova+ ukawatokea watu wote,

  • Hesabu 16:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+

  • Ezekieli 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kulikuwa na kitu kinachoonekana kama upinde+ ambao hutokea katika wingu kubwa katika siku ya mvua. Hivyo ndivyo ulivyokuwa mwangaza uliozunguka pande zote. Kulikuwa ni kuonekana kwa mfano wa utukufu wa Yehova.+ Nilipouona, ndipo nikaanguka kifudifudi,+ nami nikaanza kusikia sauti ya mtu anayesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki