23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye nchi tambarare ya bondeni, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umesimama huko,+ kama utukufu niliouona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.+
3 Nayo ilionekana kama maono niliyokuwa nimeona,+ kama maono niliyoona nilipokuja kuliharibu jiji;+ pia kulionekana vitu kama nilivyoona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.
17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+