Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye nchi tambarare ya bondeni, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umesimama huko,+ kama utukufu niliouona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.+

  • Ezekieli 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nayo ilionekana kama maono niliyokuwa nimeona,+ kama maono niliyoona nilipokuja kuliharibu jiji;+ pia kulionekana vitu kama nilivyoona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.

  • Danieli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+

  • Ufunuo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake.

      Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki