17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+
10 wale wazee 24+ huanguka chini mbele za Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme na kumwabudu+ Yule anayeishi milele na milele, nao hutupa mataji yao mbele ya kile kiti, wakisema: