Danieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+ Danieli 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na wewe, Ee Danieli, yafanye siri maneno hayo na kukifunga kitabu kwa muhuri,+ mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watakwenda huku na huku, na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+ Danieli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+
14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+
4 “Na wewe, Ee Danieli, yafanye siri maneno hayo na kukifunga kitabu kwa muhuri,+ mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watakwenda huku na huku, na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+
9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+