26 “Na lile jambo lililoonwa kuhusu jioni na asubuhi, ambalo limesemwa, ni kweli.+ Lakini wewe yaweke siri maono hayo, kwa maana bado ni ya siku nyingi.”+
4 Basi zile ngurumo saba ziliposema, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo+ ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike hayo.”